Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania

TALIRI Logo
Misingi Mikuu

Katika kutekeleza majukumu na kazi zake, TALIRI itazingatia misingi mikuu yafuatayo:

Uadilifu: Maadili ya hali ya juu, nidhamu ya kazi na heshima.

Utaalamu: Kuwa na wafanyakazi wenye sifa stahiki katika utoaji huduma.

Ukarimu: Uundaji wa mazingira rafiki na umakini wa hali ya juu kwa matarajio ya mteja.

Uwajibikaji na Wajibu: Wajibu wa kutekeleza majukumu kwa mujibu wa sheria na kanuni.

Kutanguliza Mahitaji ya Mteja: Kutoa huduma kwa kutanguliza mahitaji ya mteja.

Kujielekeza Kupata Matokeo: kujitahidi kutimiza malengo yanayotarajiwa katika kutekeleza majukumu na wajibu.

Uwazi: Uwazi katika shughuli za TALIRI na

Kutopendelea: Utoaji wa huduma bila ubaguzi (fursa sawa kwa wote)