Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania

TALIRI Logo
MAKABIDHIANO YA MBEGU ZA MALISHO YA MIFUGO
29 Feb, 2024
MAKABIDHIANO YA MBEGU ZA MALISHO YA MIFUGO

MAKABIDHIANO YA MBEGU ZA MALISHO YA MIFUGO

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo nchini (TALIRI) Prof. Erick Komba (kushoto) akimkabidhi Mwenyekiti wa kijiji cha Msomera Bw.Martin Paraketi sehemu ya mbegu za malisho ya Mifugo zitakazopandwa kwenye shamba darasa la kijiji hicho wakati wa ziara ya wafugaji hao kwenye Taasisi hiyo kanda ya Mashariki mkoani Tanga februari 28, 2024.